FREE MEDICAL CAMP AT KWA MBUZI IN RUAI

  0  
Kaimu Afisa Mkuu wa Idara ya Afya katika Serikali ya Kaunti ya Laikipia (Donald Mogoi) na timu yake yote wanakualika ewe mkaaji wa Kwa-Mbuzi, Ruai, Stadium, Kilimo, Kichinjio na maeneo yaliyo karibu kwa matibabu bila malipo kesho Alhamisi.
Baadhi ya huduma zitakazopeanwa ni kama:
- Masomo kuhusu Afya,
- Uchunguzi wa kansa ya matiti na nyungu ya mtoto,
- Uchunguzi wa kifuakikuu (TB),
- Chanjo,
- Upangaji wa uzazi,
- Kupimwa virusi vya ukimwi,
- Walio na funza (jiggers) pia watatibiwa,
- Na kadhalika.
Kumbuka huduma zote zitapeanwa bila malipo.

  News & Events

  1. State House Break Through For Kirimon & NYS Bounderies and Squatter SettlementApr 17, 2024 - H.E Governor Joshua Irungu, EGH this morning…
  2. Wildlife Conservation Drives Tourism But Comes At a CostApr 15, 2024 - Wildlife compensation bills dating back to 2014…
  3. ADDRESSING WATER CHALLENGES IN LAIKIPIA: Success Highlight of the DayMar 29, 2024 - The County Government of Laikipia, through the…

  Social Media

WHATS NEW